• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Cahalamila Giza Lamkuta Site

Posted on: May 28th, 2024

 

-Mamia ya Wananchi wa Jimbo la Ukonga wafurika kutoa kero zao

-Akemea vikali tabia za baadhi ya viongozi kujipatia fedha kwa kuwatapeli watu wa kipato cha chini

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Mei 28,2024 akiwa katika Mkutano wa hadhara Jimbo la Ukonga Wilaya ya Ilala amesikiliza kero za mamia ya wananchi waliojitokeza kwa wingi katika viwanja vya Pugu Stesheni hadi giza limeingia bado akaendelea kuwasikiliza wananchi hao.

RC Chalamila akiwa katika muendelezo wa zaira zake alianza kwa kutembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo la Ukonga ikiwemo mradi wa barabara ya Kitunda-Msongola ambayo iko katika hatua ya kujengwa kwa kiwango cha lami ya zege, Hospitali ya Wilaya Kivule, na Ujenzi wa mradi wa tanki kubwa la maji Bangulo Pugu Stesheni ambapo amesema miradi yote hiyo inatekelezwa kutokana na uwekezaji mkubwa wa fedha nyingi unaofanywa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Aidha RC Chalamila baada ya kupitia miradi hiyo alipata wasaa wa kuongea na wananchi ambapo amekemea vikali vitendo vinavyofanywa na baadhi ya viongozi katika ngazi za mitaa na Kata, ambavyo husababisha migogoro mingi tena kwa bahati mbaya wananchi wa kipato cha chini ndiyo waathirika wakubwa.

Sanjari na hilo RC Chalamila amewahakikishia wananchi wa jimbo la Ukonga kutofumbia macho migogoro isiyo yalazima dhamira yake ni kuona jamii yenye ustawi.

Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo amemshukuru mkuu wa Mkoa kwa kutenga muda wake kufanya ziara katika wilaya hiyo ambapo ameahidi kufanyia kazi maagizo yake yote kwa masilahi mapana ya wanaukonga na Ilala kwa ujumla

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa