• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RAS Toba Nguvila Ataka Kamati ya MTAKUWWA Mkoa Kuendeleza Mapambano Dhidi ya Vitendo vya Ukatili

Posted on: July 19th, 2024

-Asema elimu iendelee kutolewa kwa jamii kuhusu vitendo vya ukatili

-Aagiza kila kikao kikiketi kitoke na madhimio ya kupambana na vitendo vya ukatili

-Aelekeza kutengwa kwa bajeti katika Halmashauri zote kwa ajili ya mapambano ya vitendo vya ukatili

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt Toba Nguvila leo Julai 19,2024 ameongoza kikao cha kamati ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa Mkoa huo kilichokuwa kinafanyika katika ukumbi wa Afya ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ilala Boma.

Akiongea na wajumbe wa kamati hiyo Dkt Toba amesema bado vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto vinadhidi kukithiri katika jamii tumekuwa tukishuhudia mara kwa mara vitendo hivyo ambavyo saa nyingine vinachangiwa na imani za kishirikina hivyo ni muhimu sana kamati ya MTAKUWWA kuendelea kutoa elimu kwa jamii dhidi ya vitendo hivyo ili ifike hatua ya kuvikomesha kabisa.

Aidha ameagiza kila kikao cha kamati kinavyoketi kihakikishe kinatoka na maadhimio mahususi ya kutokomeza vitendo vya ukatili katika Mkoa huu,kila mjumbe apitie majukumu yake, na kuyajua ili vikao vinapofanyika wajumbe wawasilishe namna walivyotekeleza majukumu yao kwa masilahi mapana ya jamii.

Vilevile Dkt Toba amesema viko vitendo vingi vya kikatili vinafanyika katika fukwe pia kwa kina mama wanao omba mitaani wakiwa wamebeba watoto wadogo, ni wakati muafaka wa kufuatilia kwa karibu ili kuja na suluhu ya matendo hayo ya kikatili.

Sanjari na hilo Katibu Tawala wa Mkoa ameagiza Halmashauri zote tano za Mkoa kutenga bajeti ambayo itatumika kwenya mapambano dhidi ya ukatili ambao umekuwa tishio katika jamii zetu

Mwisho Dkt Toba alisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya wajumbe wa kamati lakini pia idara mbalimbali ambazo zinahusika moja kwa moja ikiwemo Ustawi wa Jamii ,Maendeleo ya Jamii na Elimu.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa