• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RAS Rugwa Wazee ni Hazina ya Taifa

Posted on: October 1st, 2021


Katibu tawala wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaan Ndg Hashimu Rugwa akiongea wakati wa hafla hiyo Mnazimmoja Ilala Dar es Salaam.

# Asema mchango wao utaendelea kuenziwa milele

# Akiri kupokea ujumbe wao na kuufanyia kazi

# Awaasa kupata Chanjo ya Uviko 19

# Awataka Wakurugenzi wote kusimamia Uundwaji wa Mabalaza ya Wazee Katika Mitaa yote

# Mwenyekiti wa Balaza la Wazee Dsm apongeza kushirikishwa

# RMO asema Wazee wataendelea kutunzwa, kuheshimiwa na kulindwa

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Hassan Rugwa Leo tarehe 01 Oktoba, 2021 ameshiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yaliyofanyika Kimkoa katika Viwanja vya Mnazi Mmoja

Akiwa katika Maadhimisho hayo Bw. Rugwa amesema mchango wa Wazee kwa taifa hili utaendelea kuenziwa milele na hii tunaiona toka enzi za Utawala wa Awamu ya Kwanza mpaka sasa ambapo Rais Samia alipoapishwa tu alikutana na Wazee ili apate maoni yao

Hata hivyo Katibu Tawala amekiri kupokea ujumbe wao uliosomwa na Katibu wa Balaza la Wazee Bw. Frenki Macha na kusema kuwa yote waliyoyasema yakiwemo Kupatiwa Ofisi, kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa, Usafiri, na Huduma ya Matibabu yatayafanyiwa kazi

Vile vile amewaasa Wazee hao kuitumia siku Yao vema kwa kupata Chanjo ya Uviko 19 kwani ugonjwa huo upo na unaua aidha walio hatarishi zaidi ni Wazee hivyo ni vema wakachanjwa ili waweze kuwa salama

Wakati huo huo Katibu Tawala Bw. Rugwa amewataka Wakurugenzi wote wa Mkoa wa Dar es Salaam kusimamia Uundwaji wa Mabalaza ya Wazee Katika Mitaa yote

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Balaza la Wazee wa Dar es Salaam Bw.Ramadhani Matimbwa amepongeza juhudi kubwa zilizofanywa na Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa Maadhimisho ya Siku hiyo na kuwashirikisha Wazee hao kikamilifu

Naye  Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashidi Mfaume amesema kuwa mchango wa Wazee ni Mkubwa kwa Taifa hili hivyo wataendelea kuenziwa, kutunzwa na kuheshimiwa na ndio maana Kauli mbiu ya mwaka huu inawataka washirikishwe katika fursa mbalimbali bila kujali uzee wao.

"Serikali imeendelea kuwapatia Wazee huduma mbalimbali ikiwemo Matibu kwa Afya zao". Alisisitiza Dkt. Rashidi

"MATUMIZI SAHIHI YA KIDIGITALI KWA USTAWI WA RIKA ZOTE".


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • RAS Nguvila Atoa Maagizo 14 kwa Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa wa Dar es Salaam

    May 16, 2025
  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa