• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RAS Hassan Rugwa Afungua Kikao cha Kupitia Mfumo wa Usimamizi na Uendeshaji wa Bodaboda DSM

Posted on: January 18th, 2022

Washiriki katika kikao cha kupitia Mfumo wa Usimamizi na Uendeshaji wa Bodaboda katika Ukumbi wa DMDP Ilala Jijini Dar es Salaam Mapema leo

- Asema Sekta ya usafiri kwa njia ya Pikipiki au Bodaboda inakua kwa kasi kuwepo kwa mfumo itasaidia Sekta hiyo kutekeleza majukumu yake Kidigitali

-Vilevile mfumo huo Utasaidia kuongeza mapato, pamoja na Ulinzi na Usalama

- Awapongeza UCC (University of Dar es Salaam Computing Center) kwa kubuni mfumo huo

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndg Hassan Rugwa leo Januari 18,2022 amefungua kikao Kazi cha kupitia mfumo wa Usimamizi na Uendeshaji Bodaboda katika Ukumbi wa Mikutano DMDP TARURA Ilala Jijini Dar es Salaam.

Katibu Tawala amesema sekta hii imekuwa ikikua kwa kasi bila kuwa na mfumo dhabiti inaweza kuwa zahama kwa wananchi badala ya fursa hivyo nawapongeza UCC kwa kuja na mfumo huu.

Aidha Ndg Rugwa amebainisha mfumo utakwenda kurahisisha utendaji kazi wa Serikali ikiwemo Ukusanyaji wa mapato pia Suala la Ulinzi na Usalama kwa mmiliki wa chombo hadi Mtumiaji ambaye ni mwananchi

RAS Rugwa kwa kutambua Umuhimu wa mfumo huo amewataka washiriki kupitia kwa makini ili kuwa na uelewa, kama kuna maoni au mapendekezo wasisite kutoa.

Kikao hicho cha mfumo wa Usimamizi na Uendeshaji Bodaboda DSM kilihudhuliwa na Sekretarieti ya Mkoa, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Tanroad, Maafisa Biashara, Traffic Police, Wataalam kutoka UCC na Wawakilishi wa Viongozi wa Bodaboda DSM

Kwa upande wa washiriki wa kikao wamepongeza mfumo huo kwa kuwa una tija kwa mmiliki, Mwendesha Bodaboda, Serikali na mwananchi ambaye ni mtumiaji

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa