• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Rais Samia Awataka Wananchi Kutunza Miundombinu inayojengwa na Serikali

Posted on: March 24th, 2022


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema ujenzi wa daraja jipya la Selander (Tanzanite) ni muendelezo wa jitihada za Serikali kuimarisha miundombinu ili kukabiliana na kero ya msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.

Rais Samia amesema hayo leo wakati wa hafla ya ufunguzi wa daraja hilo la Tanzanite lenye urefu wa kilomita 1.03 na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 5.2 iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.

Maandalizi ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka yanaendelea kutoka katikati ya Jiji kwenda Gongolamboto, nyengine kwenda Tegeta, pia kutoka Ubungo hadi Bandarini, Kigogo kwenda Tabata Dampo hadi Segerea na kutoka Morocco kwenda Lugalo hadi Kawe.

Rais Samia amesema, dhamira ya Serikali ni kuifanya Dar es Salaam kuwa Jiji la kisasa na la kipekee, kusaidia kupunguza foleni pamoja na kuwa kichocheo cha ukuaji wa shughuli za uchumi na biashara Jijini humo.

Vile vile, Rais Samia ameeleza kuwa ujenzi wa barabara na madaraja unagharimu fedha nyingi, hivyo kuwasihi wananchi kutunza miundombinu.

Rais Samia amesema Serikali inafanya jitihada za kuimarisha miundombinu katika miji mingine nchini, ikiwemo Jiji la Dodoma ambapo inajengwa barabara ya mzunguko ili kupunguza msongamano wa magari katikati ya mji huo.

Gharama za ujenzi wa Daraja hilo la Tanzanite ni Dola za Kimarekani Milioni 123.032 ambazo ni fedha za mkopo nafuu kutoka Serikali ya Jamhuri ya Korea kupitia Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo ya Kiuchumi (EDCF) na Dola za Kimarekani Milioni 4.233 ikiwa ni mchango kutoka Serikali ya Tanzania


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA JULY, 2022 July 05, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA BEI ELEKEZI YA MBOLEA March 30, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla Maonesho ya 46 Sabasaba 2022 Yamefana

    July 01, 2022
  • RC Makalla Uhusiano wa Dar es Salaam na Hamburg Wafanikisha Uzinduzi Kiwanda Cha Mboji

    June 30, 2022
  • RC Makalla Awaalika Wananchi Tamasha la Utamaduni na Siku ya Kiswahili Duniani

    June 29, 2022
  • RC Makalla Benk ya Afrika Kushirikiana na Serikali Kujenga Masoko ya Kisasa ya Machinga

    June 27, 2022
  • Tazama zote

Video

RC Makalla Awakaribisha Wananchi Kupima Afya Bure
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa