• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RAIS DKT SAMIA SULUHU ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU ZA MWISHO WA MWAKA 2022 KATIKA KITUO CHA HISANI ORPHANAGE CENTER-KIGAMBONI

Posted on: December 20th, 2022

 

Uzinduzi wa Utoaji Zawadi za Rais SSH,20.12.2022 katika kituo cha Hisani Orphanage Center Kigamboni-DSM


-Waziri Dkt Dorothy Gwajima akabidhi zawadi hizo kuashiria Uzinduzi rasmi wa Utoaji wa zawadi hizo katika Mikoa yote ya Tanzania Bara

-Watoto wenye Uhitaji katika kituo cha Hisani Orphanage Center wamshukuru Mhe Rais Dkt Samia Suluhu

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Mhe Dkt Dorothy Gwajima leo amekabidhi zawadi za sikukuu za mwisho wa mwaka zilizotolewa na Rais *Mhe Dkt Samia Suluhu katika kituo cha Kulelea watoto wenye mahitaji maalum kinachoitwa Hisani Orphanage Center Kigamboni-Dar es Salaam.

Mhe Dkt Dorothy Gwajima amekabidhi zawadi mbalimbali katika kituo hicho ikiwemo Mchele, Juice, Mafuta ya kupikia, Maharage, Chunvi na Mbuzi wawili (2)

Akikabidhi Zawadi hizo Mhe Dkt Dorothy Gwajima amesema Rais Samia anawapenda sana ametoa zawadi hizo ikiwa ni salamu maalum kutoka kwake kwa niaba ya vituo takribani 29 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara, Utoaji wa zawadi hizo katika kituo hicho ni Uzinduzi rasmi ambapo kuanzia tarehe 22-24 Disemba wakuu wa Mikoa kwa kushirikiana na wadau wengine watakao guswa na watu wenye uhitaji wataendelea kutoa zawadi hizo katika maeneo yao au Mikoa yao.

Aidha Waziri amefurahishwa na namna kituo hicho kinavyotoa malezi bora ambapo kwa sasa kituo kinalea watoto zaidi ya 60" Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anatoa wito na hamasa kwa watanzania wote wenye upendo kote nchini kuungana naye kuendelea kuwakumbuka wenye uhitaji tunapoadhimisha Sikuu za mwisho wa mwaka 2022 na mwaka mpya 2023 na anawatakia heri ya Sikukuu" Alisema Waziri Dkt Dorothy Gwajima

Hata hivyo watoto wenye uhitaji katika kituo hicho wamshukuru Mhe Rais Dkt Samia Suluhu kwa Upendo wake kwao na wanamuombea kwa mwenyezi Mungu maisha marefu ili aendelee kuwatumikia

Ifahamike kuwa hivi sasa nchini Tanzania kuna jumla ya Watoto 9011 ( Me 4897 na KE 4114) wanaopata huduma za msingi katika makao ya Watoto 325 yaliyosajiliwa yakiwemo 2 ya Serikali aidha  Jumla ya Wazee Wasiojiweza ni 263 ( Ke 159 na KE 104) wanaohudumiwa Kwenye makazi 14 ya Serikali na wengine 537 ( Me 278 na KE 259) kwenye makazi ya watu binafsi

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa