• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Mkataba wa Ukarabati na Ujenzi wa Soko la Kariakoo Wasainiwa.

Posted on: December 22nd, 2021

- RAS Hassan Rugwa asaini Mkataba huo na Kampuni iliyoshinda zabuni "Estim Construction Co Ltd"
- Asema Mkataba ni wa miezi 18 awataka kufanya kazi Usiku na mchana
- Asisitiza Kiu ya Rais Samia ni Kuona Ujenzi unakamilika kwa wakati na wafanyabiashara wanatumia Soko hilo
Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndg  Hassan Rugwa leo Disemba 22, 2021 amesaini Mkataba wa Ukarabati na Ujenzi wa Soko la Kariakoo na Kampuni ya "Estim Construction Co Ltd" ambapo Mkataba huo umesainiwa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa DSM.

Akiongea kabla ya kusaini Mkataba huo RAS Rugwa amesema ikubumbukwe kuwa Ukarabati na Ujenzi wa Soko hilo umetokana na Janga la moto ambalo liliunguza Soko hilo hivyo zikaundwa kamati na zikakamilisha ripoti yake zikaja na mapendekezo ya kukarabati Soko la awali na kujenga Jipya ili kukidhi mahitaji ya wafanyabiashara.

Aidha kwa Upendo Mkubwa wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan ametafuta pesa za kuwezesha kujenga Soko hilo, na Mkoa umefuata taratibu zote za kizabuni ambapo leo tukio la kusaini Mkataba limefanyika, na Kiu ya Rais ni kuona kazi inafanyika kwa wakati na ubora ili wafanyabiashara waingie katika Soko hilo akifafanua RAS Rugwa
"Ningependa Watanzania wajue Soko la Kariakoo kwa historia lilisanifiwa na Wazawa kwa hiyo limebeba historia kubwa ya Kariakoo na Tanzania ndio maana halijabomolewa bali linakarabatiwa" Alisema RAS Rugwa
Kwa upande wa Mhandisi Darpan Pindolia ambaye ndiye Mkandarasi wa Kampuni ya Estim Construction Co Ltd amesema wanao uwezo mkubwa hivyo kazi itafanyika kwa kufuata makubaliano ya Mkataba
Tukio la kusaini Mkataba huo limehudhuliwa na Wakuu wa Idara, Wawakilishi kutoka Shirika la Masoko Kariakoo, Mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais na Watumishi Ofisi ya RAS

RAI IMETOLEWA KWA WANYABIASHARA KARIAKOO KUTOA USHIRIKIANO KATIKA KIPINDI CHOTE CHA UKARABATI NA UJENZI WA SOKO LA KARIAKOO

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa