• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

"Kampeni Rasmi ya Usafi DSM Kuanza Dec 4, 2021" RC Makalla 360 Clouds Leo

Posted on: November 23rd, 2021

- Asema tarehe 4/12/2021 Kampeni ya Usafi wa pamoja DSM itazinduliwa Rasmi
- Afafanua Usafi wa pamoja kwa mwezi DSM Utafanyika mara moja kuanzia saa 12:00 hadi 3:00 Asubuhi
- Aeleza Jinsi ya kutekeleza zoezi hilo kutokana na swali aliloulizwa kuwa siku ya Jumamosi wengine huitumia kufanya mambo mengine ikiwemo Mazoezi hivyo itakuwaje?
- Asisitiza mambo manne (4) katika Utekelezaji wa Zoezi la Usafi DSM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla leo Novemba 23, 2021 akiwa katika Kipindi cha 360 kinachorushwa na Runinga ya Clouds TV nyumbani kwake Masaki Kinondoni -Dar es Salaam.
Mhe Makalla ameeleza kampeni yake ya Usafi DSM ambapo siku ya jana Novemba 22 alizindua Mpango endelevu wa usafi katika Mkoa wa Dar es Salaam ukiwa na kauli mbiu ya SAFISHA, PENDEZESHA DAR ES SALAAM

Mkuu wa Mkoa ametangaza siku rasmi ya uzinduzi wa kampeni ya usafi ambayo ni tarehe 4 ambapo Usafi Utafanyika kwa pamoja, na hiyo itakuwa ni namna mojawapo ya kuadhimisha wiki ya Kuelekea sikukuu ya Uhuru wa Tanzania, 9 Disemba.
Aidha Mkuu Mkoa amesema ametangaza usafi kufanyika kwa mwezi mara moja haimaanishi kwamba Siku zingine watu wasifanye usafi " Usafi ni Kila Siku lakini Usafi wa pamoja ndio Utafanyika kila Jumamosi na hiyo inatoa fursa ya kuweza kujumuika pamoja na majirani.
Vilevile amejibu swali aliloulizwa kuwa watu wamekuwa na ratiba za kufanya mamboo mengine ikiwemo Mazoezi itakuwaje kwa tamko lake la kuwataka wakazi wa DSM kufanya usafi kuanzia Saa 12 00 hadi Saa 3: 00 Asubuhi kwa mwezi mara moja?

Mhe Makalla amejibu kwa kusema katika familia kuna watu zaidi ya mmoja hivyo haoni sababu ya jamii kushindwa kutekeleza zoezi hilo akitolea mfano tunao madaktari au manesi au wanaoenda mchinjio asubuhi, kikubwa sheria lazima ifuatwe. Mmoja hayupo uwakilishi wa familia utakuwepo na zoezi la usafi litafanyika.

Mhe Makalla amebainisha mambo mnne ambayo yanaenda sambamba katika Utekelezaji wa Zoezi la Usafi DSM kwanza Kudhibiti ufanyaji holela wa biashara pili Kusimamia vizuri matumizi ya Sheria za Mazingira, tatu Kasi ya Ukusanyaji na Uteketeshaji wa Taka kwa kuzingatia teknlojia ya kisasa na nne Uhamasishaji na Elimu kwa Jamii

DAR ES SALAAM NDIO USO WA NCHI, NDIO LANGO, NI WAKATI SAHIHI WA KWENDA NA KAULI MBIU YA "SAFISHA, PENDEZESHA DAR ES SALAAM

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa