• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Chongolo Amwagia Sifa RC Makalla Kwa Utendaji Mzuri

Posted on: April 22nd, 2022

- Apongeza Kampeni ya Usafi, Kuwapanga vizuri Wamachinga na Uratibu mzuri wa Bodaboda Wenye ulemavu DSM

- Akiri kazi inayofanyika ya kuongoza Jiji kubwa kama DSM sio ndogo na RC MAKALLA ameweza

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Comred Daniel Chongolo amemwagia Sifa za utendaji Kazi uliotukuka RC Makalla katika Jiji kubwa la Dar es Salaam.

Comred chongolo amesema Jiji la Dar es Salaam sasa ni SAFI Kampeni za Usafi zinaendelea, Wamachinga wamepangwa vizuri Hongera sana Kamisaa Amos Makalla

Aidha Mhe Chongolo amesema anafurahishwa sana na zoezi linaloendelea sasa la kuratibu vizuri Bodaboda na Wenye ulemavu katika Jiji la DSM ili waweze kujipatia riziki, ijapokuwa kuna upotoshaji na maneno maneno yanayoendelea.

"Niwahakikishie nimefuatilia kwa makini madai ya zuio la Boda boda katika Jiji la DSM, ukweli ni kwamba kinachofanyika ni kuwaratibu vizuri Bodaboda na Wenye Ulemavu kwa kuweka utaratibu mzuri wa kuwa na vituo rasmi ili kuweza kuwasimamia vizuri, tuache kupotosha" Alisema Comred Chongolo

Comred Chongolo amesisitiza kazi ya Katibu wa Chama ni  mtendaji mkuu wa shughuli za chama na anawajibika kufuatilia Utekelezaji wa Ilani, hivyo haiwezekani kufumbia macho Bodaboda ambao ni kundi kubwa na muhimu ambalo limejiajili ili kujipatia riziki pasipo kuwawekea mazingira mazuri hivyo kinachofanyika Jiji la Dar es Salaam kwa Bodaboda na Wenye Ulemavu ni Cha kupongezwa Hongereni sana.

Mhe Daniel Chongolo amekiri Jiji la DSM ni kubwa kuliongoza na mambo yakaonekana ni kazi kubwa amempongeza sana RC Makalla huku akibainisha kuwa CCM inatambua kazi nzuri inayofanywa.

Ifahamike kuwa Pongezi hizo zimetolewa na Comred Daniel Chongolo mapema leo wakati akihitimisha Ziara yake ya kutembelea na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM- DSM katika Ukumbi wa Mikutano Anatoglo Mnazimmoja Ilala Jijini Dar es Salaam

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AFUNGUA MKUTANO WA "AFRICA E- MOBILITY FORUM"

    March 21, 2023
  • RC Makalla Akabidhi Hundi ya Mikopo ya 10% zaidi ya Bilioni 4.6 Temeke Atoa Maagizo Matano

    March 20, 2023
  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa