• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Taarifa ya Maboresho ya Miundombinu ya Umeme Mkoa wa Dar es Salaam

04 September 2018

SHIRIKA LA UMEME TANZANIA TANZANIA (TANESCO)


TAARIFA YA MABORESHO MIUNDOMBINU YA UMEME MKOA WA DAR ES SALAAM


Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawatangazia Wateja wake wa Mkoa wa Dar Es salaam pamoja na wilaya ya Kisarawe Mkoani Pwani kuwa, kutakuwa na maboresho katika miundombinu ya umeme ili kuendana na ukuaji wa matumizi ya umeme katika maeneo hayo.


Maboresho hayo yatahusisha kuvuta waya katika njia ya msongo wa kilovolti 132 kutoka kituo cha Ubungo hadi kituo cha Kipawa.


Wakati wa kufanya maboresho hayo TANESCO italazimika kusitisha huduma ya umeme mara mbili kila wiki kwenye baadhi ya meaneo ya Mikoa ya Dar Es Salaam na Pwani kwa ajili ya usalama.


Kazi hii inatarajiwa kufanyika kuanzia mwezi Septemba hadi Novemba 2018.

MUDA: Kuanzia Saa1:30 Asubuhi hadi Saa 12:00 Jioni.

TAREHE: Septemba 18,  19, 25 na 26

   Octoba 2, 3, 9, 10, 16, 17, 23, 24, 30 na 31

  Novemba 6 na 7


MAENEO YATAKAYOATHIRIKA:


(i). MKOA WA KITANESCO WA ILALA & PWANI

Tabata yote, Gongolamboto, Kisarawe, Kivule, Kitunda, Chanika,

Nyerere road kuanzia Tazara,  Kiwalani, Karakata, Ukonga,

Mongolandege, Bangulo, Pugu na Mwanagati


(ii). MKOA WA KITANESCO WA TEMEKE


Tandika yote, Mvomero street, Majaribio, Azimio kusini, Temeke Mwisho, kwa

Azizi Ally stand, Equator grill, Kitomondo, Sabasaba ground, Uwanja sifa ccm,

Kilimo,  Mandela,  Dispensary, Twalipo, TPDF, Shirika la Nyumba, Temeke Hospital

Soko la Sterio, Mtoni Unguja, Mashine ya maji no 5, Yombo yote, Daviscorner,

Makaburi City,  Machimbo lumo, Mwisho wa Lami, Meneo ya sheratoni

Maguruwe, Sandali, Chuo cha bandari, Temeke, Maganga, Mikoroshini, Magorofa ya

Tazara, Wizara kilimo, Mwakalinga(jeje industry), Temeke Sudani, Dar group

Hospital,  Alaf, Camel steel, Bakhresa, Steel Master, Qulam vita foam, Simba

plastic, Sil africa, Cello


(iii). MKOA WA KITANESCO  WA KINONDONI KUSINI

Makoka yote,  Kimara kilungule, Kimara Baruti, Bonyokwa, Suka,

Kimara Golan, Saranga, Msingwa, Kwa Musuguri,Mbezi Msigani,

Malamba Mawili, Kwembe, Mdidimua, Kibwegere, Kibamba yote.


Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza na tunaomba uvumilivu wakati wa maboresho.


Kwa mawasiliano


Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100


Tovuti: www.tanesco.co.tz,


Mitandao ya kijamii


Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,


 Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetultd/


IMETOLEWA NA:

OFISI YA UHUSIANO

TANESCO MAKAO MAKUU


Septemba 04, 2018

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla, NMB Wakabidhi Ticket kwa Viongozi wa Machinga na Bodaboda

    February 03, 2023
  • RC Makalla Apongeza Mahakama Utatuzi wa Migogoro kwa Usuluhishi

    February 01, 2023
  • RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

    January 31, 2023
  • RC Makalla Apiga Marufuku Biashara kwenye Barabara ya Mwendokasi Mbagala

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akagua ujenzi wa Kipande cha SGR- kuingia Bandarini DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa