• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Ilala MC
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makonda Amuenzi Dkt. Mengi kwa Kufuturisha maelfu ya Watu Wenye Ulemavu

Posted on: May 31st, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo amefuturisha maelfu ya watu wenye ulemavu na wasiojiweza kama sehemu ya sadaka yake ya Ramadhani na kumuenzi aliekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Marehemu Dkt. Reginald Mengi aliefariki hivi karibuni.

Katika futari hiyo RC Makonda amewapa hadhi ya juu watu wenye ulemavu baada ya kuwaalika watu mashuhuri nchini wakiwemo wasanii wa kubwa, waigizaji ,wachekeshaji, madaktari, makamanda, vyombo vya ulinzi na usalama na kuwapa jukumu moja la kuhakikisha wanahudumia watu wenye ulemavu vyakula, vinywaji na kuwasikiliza shida zao jambo ambalo walemavu wamelizungumzia kama heshima ya kipekee wamepatiwa.

RC Makonda ameeleza kuwa futari hiyo ni sehemu ya safari ya kutimia ahadi yake ya kumuenzi Marehemu Mengi kwa upendo, ukarimu, unyenyekevu na moyo wa kujitoa kusaidi makundi ya wasiojiweza huku akieleza kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu.

Aidha RC Makonda amewahimiza wananchi kuwa na moyo wa upendo na kusaidia makundi ya wasiojiweza kwakuwa anaamini kwa kufanya hivyo watachuma baraka.

Pamoja na hayo RC Makonda amewaomba wananchi kuliombea Taifa na Viongozi ikiwa ni pamoja na kuunga mkono juhudi za Rais Dkt. John Magufuli ambae amekuwa mtetezi wa wanyonge na mpiganaji wa maendeleo kwa maslahi ya wote.

Matangazo

  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2020 Shule za Sekondari za Serikali December 06, 2019
  • RC Makonda Kuupokea Mwenge wa Uhuru Julai 19 Ukitokea Mjini Magharibi July 18, 2019
  • Rais wa Kongo Kutua Nchini tarehe 13/06/2019 kwa Ziara ya Kikazi na Kupokelewa na Mwenyeji wake Rais Dkt.John Magufuli June 12, 2019
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anawatangazia wananchi wenye Matatizo ya macho kufika kwenye kambi ya macho iliyopo Mtaa wa Hindragand Posta kila Jumamosi na Jumapili kwa kipindi cha Miezi Miwili kupatiwa vipimo,matibabu na miwani bure. October 05, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Afrika Kusini Kutua Nchini Jumatano na Kupokelewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli

    August 12, 2019
  • RC Makonda Atoa Mwezi Mmoja kwa Manispaa ya Kinondoni Kuanza Ujenzi wa Fukwe za Coco

    August 09, 2019
  • RC Makonda Azidi Kutimiza Ahadi ya Ufadhili wa Matibabu ya Upasuaji wa Moyo 60 Kutoka Familia Duni

    July 25, 2019
  • RC Makonda Azindua Soko la Kimataifa la Madini na Vito Mkoa wa Dar es Salaam

    July 17, 2019
  • Tazama zote

Video

RC Makonda akiwasilisha utekelezaji wa Ilani ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa