katika mwaka wa fedha 2008/09 Mkoa umeidhinnishiwa jumla ya Sh. 14,038,082,000 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Kati ya fedha hizo Sh. 13,087,854,000 ni fedha za nje na sh. 950,228,000 ni fedha za ndani. Fedha hizo zitatumika kutekeleza miradi 10 inayosimamiwa na halmashauri za Manispaa na Jiji, na miradi 6 inayosimamiwa na sekretarieti ya mkoa. Miradi hiyo ni ifuatayo:
|