JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
 
     
Maadhimisho ya Kitaifa ya siku ya Kupiga vita Dawa za kulevya Duniani
 
Siku ya kupiga vita madawa ya kulevya [ Nyumbani ]
 
 
Maadhimisho ya Kitaifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulenya Duniani yalifanyka katika viwanja vya Mwembe Yanga katika Mkoani Dar es Salaam tarehe 26 June, 2011.
 
 

 

Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dr. Mohammed Gharib Bilal, Aidha viongozi mbalimbali Waheshimiwa Mawaziri, Waheshimiwa Wabunge, Wakuu wa Wilaya, Wastahiki Meya wa Manispaa za Jiji Dar es Salaam pamoja na Wakurugenzi wa Manispaa zote za Jiji, pia wageni mbalimbali walikuwa miongoni washiriki katika maadhimisho hayo.

 
 

 

Kauli mbiu ya Mwaka huu ilikuwa "Miaka 50 ya Uhuru, Tanzania Huru Bila Dawa za Kulevya Inawezekana"

 
 

Aidha Mkoa wa Dar es Salaam ulipewa heshima kuadhimisha sherehe hizi mara mbili mfululizo ikishirikiana na Tume ya Kuratibu Udhibiti wa Dawa za Kulevya.

 

Bonyeza hapa kusoma Hotuba ya Mgeni Rasmi: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dr. Mohammed Gharib Bilal, kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya vita Dawa za Kulevya Duniania Siku ya Kupi

 
 
 
 

 

 
 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dr. Mohammed Gharib Bilal

 

 

 

 
 

 

 

 
 
Siku ya kupiga vita madawa ya kulevya[ Nyumbani ]   Rudi juu
 
     
Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, TEL: 022 - 2203156/2203158, FAX: 022-2203213