JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
 
     
 
     
UPIMAJI
 
[ Ardhi ] Upimaji [ Rudi nyumbani ] au
 
    Maeneo yaliyopimwa Viwanja ndani ya Mkoa

Jumla ya viwanja 37,000 vimepimwa kwenye maeneo ya Kisota, Tuangoma, Geza ulole, Mwongozo, Mtoni Kijichi, Kibada kwa Manispaa ya Temeke, kwa Manispaa ya ilala ni Buguruni, Mwanagati na Kinyerezi. Kwa Manispaa ya Kinondoni ni maeneo ya Mivumoni, Mbweni JKT, Mbweni mpiji, na Bunju
     
    Mpango wa Upimaji Viwanja kwenye Maeneo Mapya
Viwanja vimepangwa kupimwa katika Halmashauri za Manispaa zote za Jiji la Dar Es Salaam
  • Katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala eneo la Kinyerezi viwanja 3,000 vinatarajiwa kupimwa, ambapo
    awamu ya kwanza vitapima viwanja 750
  • Katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni eneo la Goba, Mivumoni, Madale vinatarajiwa kupimwa
    viwanja 2,000; ambapo awamu ya kwanza vitapimwa viwanja 1,000
  • Katika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke eneo la Kisarawe II, Mbande, Kibada, Sumangita na Vijibweni
    viwanja 5,000 vinatarajiwa kupimwa ambapo awamu ya kwanza vitapimwa viwanja 1,000
   
     
         
 
[ Ardhi ] Upimaji [ Ramani ] [ Rudi nyumbani ] au
Rudi juu
 
     
Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, TEL: 022 - 2203156/2203158, FAX: 022-2203158