Mipango mbalimbali imeandaliwa ili kuendeleza upya
(Re-development Plan) maeneo kongwe.
Uendelezaji upya wa maeneo yafuatayo umeshaanza na unaendelea kama ifuatavyo-.
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala
Ni maeneo ya Kariakoo, Upanga na Ilala
Halmashauri yaManispaa ya Kinondoni
Magomeni kwa awamu ya kwanza ni Magomeni kota , na Kinondoni Kota na Masaki
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke
Maeneo ni Kurasini , Temeke na Kigamboni |