• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Ilala MC
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Masoko

Ibara ya 20(g) (ii) Kuelimisha Umma kuhusu fursa za kujiongezea Kipato kupitia Masoko ya Mitaji na Uwekezaji;

Mkoa  umeweka mazingira mazuri na wezeshi kwa ajili ya maendeleo endelevu ya sekta ya viwanda, biashara na masoko kwa lengo la uzalishaji wa ajira hasa kwa wafanyabiashara wadogo. Lengo ni kuwafanya wafanyabiashara wadogo  maarufu kwa jina la Machinga kuondokana na uchuuzi na kuwa wajasiriamali.   Mkoa unalenga kuongeza idadi zaidi ya minada na magulio. Aidha, katika kuboresha maeneo ya biashara ndogo ndogo  jumla ya masoko 8  yamekarabatiwa ambayo ni:- 

  • Shekilango, na Sinza Makaburini katika -Halmashauri ya Ubungo,
  • Msufini, Kisiwani, Bunju A na Bunju B - Halmashauri ya Kinondoni
  •  Kisutu, Buguruni, Tabata Muslim na Kigogo- Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, na
  • Temeke Stereo –Halmashauri ya Manispaa ya Temeke.

Mkoa una mpango wa kujenga masoko ya kisasa katika maeneo ya Kisutu, Buguruni, Magomeni na Temeke stereo. Aidha, Mkoa kupitia Halmashauri zake pamoja na  Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Nchini (TanTrade) umetoa mafunzo kwa wafanyabiashara wapatao  3,142 ili kuwajengea uwezo juu ya stadi za biashara, ujasiriamali na upatikanaji wa masoko ya ndani na nje ya bidhaa zao.

 

Matangazo

  • Miradi 15 ya Kimkakati Awamu ya Pili Kutekelezwa February 06, 2019
  • Mkutano wa Mkuu wa Mkoa na Watendaji wa Mkoa wa Dar es Salaam 29/01/2019 January 28, 2019
  • Kuona Matokeo ya Kidato cha Nne 2018 bofya hapa January 24, 2019
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anawatangazia wananchi wenye Matatizo ya macho kufika kwenye kambi ya macho iliyopo Mtaa wa Hindragand Posta kila Jumamosi na Jumapili kwa kipindi cha Miezi Miwili kupatiwa vipimo,matibabu na miwani bure. October 05, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makonda Awaagiza Wakuu wa Wilaya Kuhakikisha Ugawaji wa Vitambulisho Unamalizika Kabla ya Mwezi Machi

    January 29, 2019
  • RC Makonda Kumuenzi Askofu Pengo kwa Kuipa Barabara Jina lake

    January 26, 2019
  • RC Makonda Awahimiza Wananchi Kujipatia Bima ya Afya Ili Kujihakikishia Maisha Bora

    January 10, 2019
  • RC Makonda Awahakikishia Wanafunzi Waliofaulu katika Mkoa wa Dar es Salaam Kuendelea na Masomo Yao

    January 08, 2019
  • Tazama zote

Video

RC Makonda akiwasilisha utekelezaji wa Ilani ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa