JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA    
 
 
 
 .: Muundo wa Kiutawala
 .: Yanayotuhusu na Anuani
 .: Mission & Vision
 .: Miradi & Programu
 .: Fedha & Bajeti - Taarifa
 .: Nyaraka Mbalimbali
 .: Mipango
 .: Kilimo na Mifugo
 .: Maliasili na Mazingira
 .: Elimu
 .: Afya
 .: Maji
 .: Ushirika
 .: Biashara
 .: Barabara na Majengo
 .: Ardhi, Upimaji & Ramani
 .: Jamii, Jinsia & Watoto
 .: Taarifa za Mkaguzi
 .: Kazi
 .: Usafiri & Mawasiliano
 .: Serikali za Mitaa
 .: FAQs & Forums
 .: Daftari la wageni &Maoni
.: Teknohama (ICT)
.: Tovuti nyingine muhimu
     
 

Karibu katika Tovuti ya Mkoa wa Dar es Salaam, Jiji kubwa kuliko yote Tanzania ambalo ni Kitovu cha Shughuli za Serikali za Kiutawala, Viwanda, Biashara,Utalii na Shughuli za kibenki, pia ni Makao Makuu ya Balozi za nchi na Wakala mbalimbali wa Kimataifa.
Mkoa unapakana na Mkoa wa Pwani kwa pande za Kaskazini, Magharibi na Kusini Magharibi, Bahari ya Hindi ndiyo mpaka wa Mkoa kwa upande wa Mashariki na Kusini Mashariki.

 

     
   
Dar  City Centre
   
 

Mkoa wa Dar es Salaam ni miongoni mwa Taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu ambazo zimefanya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru. Madhimisho haya yamefanyika tarehe 9-12 Oktoba,2011 katika viwanja vya Mnazi Mmoja-Jijini D' Salaam.

 
     
 

Maadhimisho hayo yaliambatana na maonyesho katika mabanda mbalimbali kutoka katika Taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Wanachi pia walipata nafasi ya kuhudhuria maadhimisho haya pia kutembelea mabanda mbalimbali na kujionea mafanikio kwa kipindi cha miaka 50 ya uhuru (1961-2011

 
     
 
Mgeni Rasmi katika maadhimisho haya alikuwa Mhe. William V. Lukuvi (MP)-Waziri wa nchi Sera na Uratibu(Siku ya Ufunguzi) na Mhe. George H. Mkuchika (MP)- Waziri wa Nchi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Siku ya Kilele cha maadhimisho hayo).
Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni: “Tumeweza, Tumethubutu, Tunasonga mbele”. “
Bonyeza hapa kusoma zaidi juu ya habari hii ...

 
 
     
 
 
..........................................................
 
 
 
..........................................................
 
 
 
..........................................................
 
 
  ..........................................................  
HABARI NYINGINE  
     
Nafasi za kazi / Ajira  
  .....................................................a ......  
Zabuni na Minada  
  ...........................................................  
V V U / UKIMWI  
  ........................................................  
Kijue Kituo cha Mabasi Ubungo  
  .........................................................  
  ENEO BINAFSI      
Mkoa wa Dar es Salaam waadhimisha miaka 50 ya Uhuru
 
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni miongoni mwa Taasisi za umma zilizofanya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru. Madhimisho haya yamefanyika, katika viwanja vya Mnazi Mmoja - Jijini D' Salaam
 
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma zaidi.....  
 
  Matukio Yajayo :  
 
       
Siku ya Haki za Wanyama Duniani
Tarehe 03/11/2011
 
Siku ya UKIMWI Duniani Tarehe 01/12/2011
Siku ya Walemavu Duniani Tarehe 03/12/2011
 
Siku ya Uhuru Tarehe 09/12/2011  
 
 
Web Mail
Maoni
Online Training / class
Mafaili na Ujumbe
Mijadala
 
 
     
Hotuba za Mkuu wa Mkoa  
Hotuba za Katibu Tawala (M)  
   

 
 
 
 
   
       
 

 

    ........................................................  
  Fursa za uwekezaji & Vivutio  
    ......................................................  
  Mashirika, Taasisi & NGO's  
    ......................................................  
  Mahoteli & Nyumba za kulala wageni  
    ......................................................  
  Hospitali, Vituo vya afya na zahanati  
    ........................................................  
  Huduma za Jamii  
    .......................................................  
       
  Utalii  
 
 
   
 
Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, P.O.Box 5429, : 022 - 2203156/2203158, FAX: 022-2203213