JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA    
 
 
 
 .: Muundo wa Kiutawala
 .: Yanayotuhusu na Anuani
 .: Mission & Vision
 .: Miradi & Programu
 .: Fedha & Bajeti - Taarifa
 .: Nyaraka Mbalimbali
 .: Mipango
 .: Kilimo na Mifugo
 .: Maliasili na Mazingira
 .: Elimu
 .: Afya
 .: Maji
 .: Ushirika
 .: Biashara
 .: Barabara na Majengo
 .: Ardhi, Upimaji & Ramani
 .: Jamii, Jinsia & Watoto
 .: Taarifa za Mkaguzi
 .: Kazi
 .: Usafiri & Mawasiliano
 .: Serikali za Mitaa
 .: FAQs & Forums
 .: Daftari la wageni &Maoni
.: TEHAMA (ICT)
.: Tovuti nyingine muhimu
     
 

Karibu katika Tovuti ya Mkoa wa Dar es Salaam, Jiji kubwa kuliko yote Tanzania ambalo ni Kitovu cha Shughuli za Serikali za Kiutawala, Viwanda, Biashara,Utalii na Shughuli za kibenki, pia ni Makao Makuu ya Balozi za nchi na Wakala mbalimbali wa Kimataifa.
Mkoa unapakana na Mkoa wa Pwani kwa pande za Kaskazini, Magharibi na Kusini Magharibi, Bahari ya Hindi ndiyo mpaka wa Mkoa kwa upande wa Mashariki na Kusini Mashariki.

 

     
   
Dar  City Centre
   
 

Katika maadhimisho ya siku ya Wanawake mwaka huu Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ilipewa heshima ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani Kimkoa.

 
     
 

Maadhimisho haya yalifanyika katika viwanja vya Tanganyika Packers-Kawe. Mgeni rasmi siku ya kilele alikuwa Mhe. Mkuu wa Mkoa Saidi Meck Sadiki. Maadhimisho ya Kimkoa yalianza tarehe 6/03/2013 hadi 08/03/2013.
sambamba na maadhimisho haya kulikuwepo na maonesho ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na wanawake wajasiriamali

 
     
 

Siku ya Wanawake Duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 08 Machi.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni:
“Uelewa wa Masuala ya Jinsia katika Jamii; Ongeza kasi”. Bonyeza hapa kusoma zaidi juu ya habari hii ...

 
 
     
 
 
..........................................................
 
 
 
....................... ...................................
 
 
 
..........................................................
 
 
  ..........................................................  
HABARI NYINGINE  
     
Nafasi za kazi / Ajira  
  .....................................................a ......  
Zabuni na Minada  
  ...........................................................  
V V U / UKIMWI  
  ........................................................  
Kijue Kituo cha Mabasi Ubungo  
  .........................................................  
  ENEO BINAFSI      
Wanachama wa kikundi cha 'FEDERATION ' wapata Msaada
 

Kampuni ya HSC kupitia mwakilishi wao Bw. Mohamed Abdallah, imekabidhi jumla ya mifuko 300 ya saruji kwa Umoja wa wanajamii wa'FEDERATION' huko Chamazi katika Halmashauri ya Manispaa y a Temeke.

 
  ....................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma zaidi.....  
 
  Matukio Yajayo :  
 
       
Kumbukumbu ya Karume
Tarehe 07/04/2013
 
Siku ya Muungano
Tarehe 26/04/2013
Siku ya Wafanyakazi
Tarehe 01/05/2013
 
Siku ya Mtoto wa Afrika
Tarehe 16/06/2013
 
 
 
Web Mail
Maoni
Online Training / class
Mafaili na Ujumbe
Mijadala
 
 
     
Hotuba za Mkuu wa Mkoa  
Hotuba za Katibu Tawala (M)  
   

 
 
 
 
   
       
 

 

    ........................................................  
  Fursa za uwekezaji & Vivutio  
    ......................................................  
  Mashirika, Taasisi & NGO's  
    ......................................................  
  Mahoteli & Nyumba za kulala wageni  
    ......................................................  
  Hospitali, Vituo vya afya na zahanati  
    ........................................................  
  Huduma za Jamii  
    .......................................................  
       
  Utalii  
 
 
   
 
Copyright © 2007 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, P.O.Box 5429, : 022 - 2203156/2203158, FAX: 022-2203213